Mwimbaji Richi Mavoko Aingia Katika listi ya Mastaa wa Kiume Waliojichubua Ngozi na Kuwa waupe


Kabla na Baada List ya Masuper star wa Kiume Bongo waliojibadilisha ngozi kwa kutumia mkorogo ama madawa inazidi kunona baada ya Msanii Richi Mavoko Kusemekana naye amejichumbua ngozi kwani muonekano wake wa kabla na sasa ni tofauti sana kama inavyoonekana hapo juu kwenye picha....
Picha hiyo imewekwa instagram na mdau mmoja na hivi ndiyo watu walivyoichukulia:
shalifanuhu Wao umenaga
ugly73 Lakini napenda SAUTI yake .. Sasa sijui bado ipo AU imekua kama YA Recho kizunguzungu... Shuti kuimba kwa
anney09kavishe Hata wanaume wanahangaika na mkorogo jaman lol
amosemma Ha ha ! Natural ndio mpango mwanaume hvo aibuu.
mayna_pemba Wakaka wanataka kufanana na dada zao
SHARE

Unknown

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment